1 Timothy 2:1-2

Maagizo Kuhusu Kuabudu

1 aAwali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote: 2 bkwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.
Copyright information for SwhNEN